Mwanaidi sinare maajar biography graphic organizer

  • Mwanaidi sinare maajar biography graphic organizer
  • Mwanaidi sinare maajar biography graphic organizer

  • Mwanaidi sinare maajar biography graphic organizer
  • Mwanaidi sinare maajar biography graphic organizer pdf
  • Scholastic biography poster report
  • Udsm prospectus 2024 pdf free download
  • Udsm prospectus 2023/24 pdf
  • Scholastic biography poster report!

    Mwanaidi Sinare Maajar

    Mwanaidi Sinare Maajar
    Nchi Tanzania
    Kazi yake Mwanasheria


    Mwanaidi Sinare Maajar (alizaliwa 12 Januari1954) ni mtetezi na mmoja wa washarika katika ENSafrica nchini Tanzania.

    Elimu yake

    [hariri | hariri chanzo]

    Mwanaidi Maajar ni mtaalamu wa sheria za ushirika, benki na fedha, sheria za rasilimali za asili (ikiwa ni pamoja na madini, mafuta na gesi) na sheria za nishati.[1] Alipata shahada ya sheria mwaka 1977 na shahada ya uzamili ya sheria mwaka 1982 ambapo alipatia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.[2]

    Kazi zake

    [hariri | hariri chanzo]

    Alifanya kazi kama mshauri wa kisheria mwandamizi na Benki Kuu ya Tanzania (1978-1983) na kisha kama meneja wa biashara na Coopers & Lybrand (1983-1991), shirika la kwanza ya PricewaterhouseCoopers, Tanzania.

    Mwaka wa 1991, alisaidia kupatikana wakili wa MRN & M na alikuwa mshirika wa kwanza wa madini, maliasili na sheria za kampuni. Pia amefanya kazi kama mtetezi